Big cuddle
Member
- Aug 29, 2019
- 16
- 27
Ni mgeni ndani ya jf naomba kujumuika katika kujifunza na kuchangia nanyi kwenye mambo mbalimbali ambayo hufanyika humu na pia kupata marafiki...na shukuru Kwa kunipokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kusahau walau namba zake mbili za simu.Picha pls tufamiahane
Hahaha labda Ila sijawahi kuwaWewe ndo ulikuaga mbunge wa Nyarenanyuki?
Mzee unamwaga na picha kabisa...
Hii sio Insta
Huh..!!Tena ivo Bablai?!Basi viwatu vipo humu JF vinajifanya vimejifichaaaa...eti kila mgeni akija ni kujifanya kudiss na kuwacheka wageni tu..Shame on you, aina ya ushamba mwingine huo. Ukihitajika popote utakamatika tu hata ujiite pundamizigo.
Huh..!!Tena ivo Bablai?!
AiseeMy Name's Michael View attachment 1209926
Tatizo lenu mnakuja kishamba shamba. Kwetu ni burudaniBasi viwatu vipo humu JF vinajifanya vimejifichaaaa...eti kila mgeni akija ni kujifanya kudiss na kuwacheka wageni tu..Shame on you, aina ya ushamba mwingine huo. Ukihitajika popote utakamatika tu hata ujiite pundamizigo.
Karibisha Mgeni AiseeAisee
Anakaribishwa mnoooKaribisha Mgeni Aisee
Mimi pia new comer lakini siwezi kupelekwa pelekwa kiboya ivoMzee unamwaga na picha kabisa...
Hii sio Insta