shusha nambari.......
Kwaiyo Min-ah umekataa tuwe marafikiKwendaaaaa,,,,nyooooooo
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]hv kwa nn sku hz vidume wakongwe wa humu mnakuja na kujifanya nyu memba?
dzain kama nawaona wazee wa magogon mshaingia kazin round ya pili....semen mnamtafuta nan tuwasaidie kuliko kufungua account mpya kila sku na kujifanya nyu memba
[emoji1787][emoji1787] wapi na wp jmn labda kwasababu kwetyuu kumojaMkwawa mnyalukoro na Min-ah ni mtu mmoja