Umevaa viatu?Habari wadau,, new member hapa jmn,, naomba ushirikiano wenu,,,
Una jinsia gani ndugu ili tuiweke kwenye kumbu kumbu rasmi just in caseAhahahaha,, yaaah nmevaa,,
Lipa Kodi,kuna kodi ya utambulisho,kodi ya uficho,kodi ya jina bandia,kodi ya ushirikiano.. pia Kama wewe ni me ukipata ke humu basi Mimi ndo mhakiki wenu hivyo lzm ulipoti kwangu nimuone nimuhoji,nimkague na mengine.. tafadhali vigezo na masharti kuzingatiwa karibu.Habari wadau,, new member hapa jmn,, naomba ushirikiano wenu,,,
Ahahahahahahaha,,, mkuu umkague tena,,, unamkaguaje sasa,, emb dadavua kdgo,, fanya udadavuzi,,,Lipa Kodi,kuna kodi ya utambulisho,kodi ya uficho,kodi ya jina bandia,kodi ya ushirikiano.. pia Kama wewe ni me ukipata ke humu basi Mimi ndo mhakiki wenu hivyo lzm ulipoti kwangu nimuone nimuhoji,nimkague na mengine.. tafadhali vigezo na masharti kuzingatiwa karibu.
Sawa..karibu ila kama hujaoa kuna mabinti wako single huku usiache kutangaza nia...Ahahaha,, male mbaba,,
Hustahili hata kukaimu unaibu wa nafasi hii ikiwa hata kiswahili kinakupiga chenga.Lipa Kodi,kuna kodi ya utambulisho,kodi ya uficho,kodi ya jina bandia,kodi ya ushirikiano.. pia Kama wewe ni me ukipata ke humu basi Mimi ndo mhakiki wenu hivyo lzm ulipoti kwangu nimuone nimuhoji,nimkague na mengine.. tafadhali vigezo na masharti kuzingatiwa karibu.
Ndo nakukumbusha sasa kuoa ili hiyo ndude isije kuziba...Okaaay,,, hta hvyo cjaoa bado,,, nafikiri ni point adhim sana hiyo,,, nashkur sana mkuu
Kuhusu ukaguzi hilo juu yangu..Ahahahahahahaha,,, mkuu umkague tena,,, unamkaguaje sasa,, emb dadavua kdgo,, fanya udadavuzi,,,
πππHustahili hata kukaimu unaibu wa nafasi hii ikiwa hata kiswahili kinakupiga chenga.