New member

Habari wadau,, new member hapa jmn,, naomba ushirikiano wenu,,,
Lipa Kodi,kuna kodi ya utambulisho,kodi ya uficho,kodi ya jina bandia,kodi ya ushirikiano.. pia Kama wewe ni me ukipata ke humu basi Mimi ndo mhakiki wenu hivyo lzm ulipoti kwangu nimuone nimuhoji,nimkague na mengine.. tafadhali vigezo na masharti kuzingatiwa karibu.
 
Ahahahahahahaha,,, mkuu umkague tena,,, unamkaguaje sasa,, emb dadavua kdgo,, fanya udadavuzi,,,
 
Hustahili hata kukaimu unaibu wa nafasi hii ikiwa hata kiswahili kinakupiga chenga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…