New member

Karibu mwanandugu, ushapewa maelekezo ya chama chetu na jinsi ya kuchangia mfuko wa chama? Jitahid usiwe msumbufu katika matoleo utapigwa ban.
 
Usikute ni id za kina genta na yule popoma mwenzake mana hawa watu kwa kuanzisha id mpya hawajambo ubaya muandiko ni uleule hisia zao ni zile zile kwakweri KARIBU SANA MGENI UKIINGIA HUMU KUANDIKA PUMBA HATUTAKI NA UJUE WENGINE SISI HUMU NI WAZEE WA UMRI MFANO MIMI SAIZ NI 85year na wewe kwa id yako inaonesha una miaka 20-24 hujavuka hapo kama unabisha sema
 
Karibu sana JamiiForums...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…