Jamani huku kunanini?mbona new members wamekuja na speed yakutafuta wanajamii ili wa do ze nidif au nyie ndo vidume kuliko sisi kakazenu mliotukuta??huko mlikokuwa hakuna??Pili mbona sijasikia member wakike akitafuta wakuvinjari naye??humu kwenye jf??Wana dada wa JF mko tayari mnatafutwa na new members!!!:boink:
Jamani huku kunanini?mbona new members wamekuja na speed yakutafuta wanajamii ili wa do ze nidif au nyie ndo vidume kuliko sisi kakazenu mliotukuta??huko mlikokuwa hakuna??Pili mbona sijasikia member wakike akitafuta wakuvinjari naye??humu kwenye jf??Wana dada wa JF mko tayari mnatafutwa na new members!!!:boink:
Ahahahaah!washatimuliwa Sura kitabu... wanajaribu ndoano zao huku...!!
Imekukwaza???mlaumu mungu aliyeniumba!!nimimi haswaaaa,imekugusa?usiusemee moyo express your self!baada ya kukujibu njoo ndani ya mada!samahani sana kaka kiiza,nje ya mada.hiyo picha hapo ni wewe mwenyewe ulivyo?au siyo picha yako.kuuliza jamani si ujinga,na samahani kama hujalipenda swali langu
samahani sana kaka kiiza,nje ya mada.hiyo picha hapo ni wewe mwenyewe ulivyo?au siyo picha yako.kuuliza jamani si ujinga,na samahani kama hujalipenda swali langu
kisukari na confirm ka niaba yake hiyo ni picha yake aliipiga mwaka jana mwezi wa kwanza ...ni handsome boy wetu huyu
halafu hapo ndio alikuwa ameishapiga make up tayari