New new new new new new,matokeo kidato cha pili mkoa wa dar es salaam waongoza kufelisha wanafunzi

ROGERSHINE

Senior Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
129
Reaction score
82
Hatimaye wizara ya elimu imetangaza matokeo ya kidato cha pili huku mkoa wa dar es salaam ukionekana ni mkoa ulioongoza kufelisha wanafunzi
source=wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi
 
Hatimaye wizara ya elimu imetangaza matokeo ya kidato cha pili huku mkoa wa dar es salaam ukionekana ni mkoa ulioongoza kufelisha wanafunzi
source=wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi
mbona mnaleta taarifa nusu nusu?
 
Mkuu ni vema ungetupa habari kamili,badala ya kukimbilia kuleta habari ambayo haijakamilika!
 
acheni ushabiki wa kijinga kupenda kuangalia mabaya tu hao watoto walio feli walikuwa na changamoto nyingi sana hasa kwa hapa dar . so hakuna sababu ya kuchekelea zaidi ya kutafuta source ya hao waliofeli na solution
 
unaonekana umefuraaaaaaahi watoto wa wenzio kufeli!!!!!akili nyingine bwana
 
ungetuwekea na link ya hayo matokeo ingekuwa vyema. kwenye website ya wizara na NECTA sijaona kitu
 
Mie sishangai , kama wanafunzi wanashinda vituo vya daladala kama mwenge badala ya kuhudhuria skuli unategemea nn zaidi ya kufeli???
acheni ushabiki wa kijinga kupenda kuangalia mabaya tu hao watoto walio feli walikuwa na changamoto nyingi sana hasa kwa hapa dar . so hakuna sababu ya kuchekelea zaidi ya kutafuta source ya hao waliofeli na solution
 
angalia na changamoto walznazo acha kupayuka we mwenyewe unaonkana ulkuw unataman kuxoma dar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…