FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
- Thread starter
-
- #21
Kama na wewe mwenyewe ni karani na unaona ni sawa kuwa na taswira ya kuwa godoro la bosi wako wewe una utashi mdogo, umekubali mfumo dume.
Haya ni matani na matusi ya wanaume, laiti ungeelewa Firstlady dada yangu.
Tunapojaribu kupigana na ujima huu tuna kazi mbili. Kumbadilisha mwanamme kwanza, aache ubeberu wa jinsia, na la pili, kumkamata kichwa mwanamke pia, aelewe, ajithamini, akatae mifumo inayomfanya kama kikombe au chombo cha kukingia mikojo ya mwanamme. Firstlady funika kikombe.
deh deh deh anaitwa TINDIKALI (acid),ili umnyutralaizi akodingi to kemistri unahitaji alkali ya sodium hydroxide, HAPA UNAHITAJI MSAADA WA MWANAKEMIA MKUU WA SERIKALI hehehehehejamani huyu jamaa ananimeza what iz the meaning of jokes................................. ..maticha na mabinamu hebu fill in the blanks pls
tit for tat...
Good one first lady
hhhahhaaaaaa namie nilimshangaa duh... naona Klorokwini kakusave apo :rofl:hahah kuna mtu anataka kunimwakia Tindikali lakini krolokwini kishanipa fomula