New technic- kubembeleza katoto kachanga kanakolia chini ya miezi 3

New technic- kubembeleza katoto kachanga kanakolia chini ya miezi 3

mxyo16

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
1,243
Reaction score
758
Watch and learn

[video]https://youtu.be/u3ZjKHEz6eA[/video]
 
Yeah, ila kwa watoto wa kikwetu tunaowapa chakula zaidi ya kipimo kinachotakiwa, si atatapika sana ama kucheua kwa wingi?! Mtazamo binafsi tu.

Ahsante!
 
Binafsi naamini, bado ubembelezaji wetu wa kiafrika, unafaa sana, kama vile kufungwa mgongoni, ama kuwekwa mikononi akiwa anaangali juu halafu unaipeleka mikono kushoto kulia x2 x2 taratibux2 na mwishowe, kama kashiba atalala tu. Ila akiwa na njaa, utabembeleza sana, mtoto atagoma kunyamaza, zaidi kelele zitaongezeka.

Ahsante!
 
Yeah, ila kwa watoto wa kikwetu tunaowapa chakula zaidi ya kipimo kinachotakiwa, si atatapika sana ama kucheua kwa wingi?! Mtazamo binafsi tu.

Ahsante!

hahahahahaa
 
Back
Top Bottom