New white elephant airport terminal in Dar

New white elephant airport terminal in Dar

Msapere

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,165
Reaction score
1,543
Flight radar live Dar has one plane, so the new terminal was just but a big white elephant.

1575480873120.png
1575480873120.png
 
Kwahiyo kulikuwa na ndege moja TU iliyokuwa inaruka Indian Ocean off the whole East African Coast sio?! Na kwamba Kenya yote kulikuwa na less than 10 planes sio?!!
 
Hizi flight radar ni za mabeperu

zinajaribu kuhujumu juhudi za serekali, awamu ya tano ciciM ya ununuzi wa mindege [emoji23][emoji23]
 
Hizi flight radar ni za mabeperu

zinajaribu kuhujumu juhudi za serekali, awamu ya tano ciciM ya ununuzi wa mindege [emoji23][emoji23]
Kweli kabisa mkuu. Mabeberu hawana huruma. Yaani kwingine anga limejaa midege ila Afrika kama tupu tu. Hakuna cha kenya South au Nigeria.. Bora hata Tz kuna tu ndege tunaelekea huko duniani
 
Tatizo Wabongo wabahili sana, kumkuta akitumia ndege ni nadra sana hata kama hela anazo, sasa ndege zao wanazipigisha ruti ya ndani kwa kuogopa mkulima, humo ndani wenyewe hawapendi kuzitumia.

Pia maskini wanazidi kuongezeka

2231329_IMG_20191204_180908.jpg
 
Mzee ATC usipobook two weeks before basi imekula kwako, ni Vile hatuna Mbwembwe kama za Wakenya humu kujisifu kujaza Gari moshi,
Angalia hapa yaani ndege zimejaa kwenda kokote nchi nzima, pita hapa ujionee mambo Error | Air Tanzania
IMG_1849.JPG
IMG_1850.JPG
IMG_1851.JPG
IMG_1852.JPG
IMG_1859.JPG
IMG_1860.JPG
IMG_1861.JPG
IMG_1862.JPG
 
MK254,

Dar Mbeya na Mbeya ndio kabisa huwezi pata nafasi unless uplan safari yako 4-6 weeks ahead,
a reason tunaagiza hizi ndege sababu hata soko la ndani hatujalimudu,
IMG_1865.JPG
 
Back
Top Bottom