Nashukuru kupata fursa ya kuishi na fursa ya kupost humu...
Haya wajamen pateni fursa ya kucomment kwenye uzi wangu.
Tulio fanikiwa kuishi mpaka leo sio ujanja bali ni fursa tu aliyo tupa mungu..
Pamoja na tulio ingia 2019 tukiwa wazima bila ya kasoro yoyote mwilini Sio ujanja ni majaliwa ya mola.
Tusio fanikiwa 2018 haimainishi hatuna uwezo wa kufanikiwa ila ni majaaliwa ya mola...
Tulio fanikiwa 2018 kuelekea 2019 sio ujanja bali ni fursa tu aliyo tupa mungu..
Allah Akbar/Hallelujah
Sent using
Jamii Forums mobile app