Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
Mimi nitakuwa London lakini sijui nijimwage wapi..of course sitaki kujichanganya na wabongo pale CHOONI (CLUB AFRIQUE) lakini naomba ushauri kuhusu clubs au sehemu nzuri za kujimwaga zenye mademu wazuri wasio ringa na wasafi