Newborn baby!!

Newborn baby!!

Lady doctor

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
8,756
Reaction score
7,005
Am a new born baby in this family (jamii forum).
Bt simjui baba, mama, kaka wala dada... Kama mpo jitokezeni jamani kumpokea huyu baby
 

Attachments

  • lady doctor_001.jpg
    lady doctor_001.jpg
    18.6 KB · Views: 81
Nakukabidhi kwenye familia ya Mtambuzi.

Akina mwaJ, King'asti na Zion Daughter watakuonesha taratibu.

Mie nataka nchaakuchumbia
Karibu sana.
Kwa masuala ya kula kula kule jukwaa la Chef utawasiliana na mama yangu mwaJ
Kwa masuala ya chitchat raisi ni Arushaone lakn pia ana msaidizi wa uchumba na ndoa kama bado upo upo nao ni Baba V na watu8.
Lakn kaa mbali na Asprin hichi kibabu ni kikaguzi na kina wake 4 na concubines kibao kama mfalme suleiman.

Siasani umuone family member my super dad Mwita Maranya .

Tunaye mwinjilisti ladyfurahia na mtumishi Bujibuji (huyu sikuhizi amerudi nyuma uwe makini nae)

Kama unahitaji mkopo wa biashara wasiliana na Bishanga .
My love stevoh huyu ni multi purpose kila kazi anaweza.
My anty Kongosho ni mama makavu live wakisaidiana na KINGásti Snowwhite na wengine

kuna wengi sana utajua kazi zao taratibu kama manoah mimisa Mr Rocky Tetra Nicas Mtei majany Superman etc etc .
Kwa ufupi familia yetu ni super extended family.. karibu sana
 
Last edited by a moderator:
Dah umefika ulezi utapata bila shaka Bishanga mzee wa mrengo huo atakupa pumziko stahili.
 
Karibu sana.
Kwa masuala ya kula kula kule jukwaa la Chef utawasiliana na mama yangu mwaJ
Kwa masuala ya chitchat raisi ni Arushaone lakn pia ana msaidizi wa uchumba na ndoa kama bado upo upo nao ni Baba V na watu8.
Lakn kaa mbali na Asprin hichi kibabu ni kikaguzi na kina wake 4 na concubines kibao kama mfalme suleiman.

Siasani umuone family member my super dad Mwita Maranya .

Tunaye mwinjilisti ladyfurahia na mtumishi Bujibuji (huyu sikuhizi amerudi nyuma uwe makini nae)

Kama unahitaji mkopo wa biashara wasiliana na Bishanga .
My love stevoh huyu ni multi purpose kila kazi anaweza.
My anty Kongosho ni mama makavu live wakisaidiana na KINGásti Snowwhite na wengine

kuna wengi sana utajua kazi zao taratibu kama manoah mimisa Mr Rocky Tetra Nicas Mtei majany Superman etc etc .
Kwa ufupi familia yetu ni super extended family.. karibu sana

nashukuru sana kwa utambulisho ulionipa, hiyo family itanifaa sana
 
Last edited by a moderator:
Karibu sana, ukipata mchumba hakikisha unaniona kule chit chat (The real family). Mengine tukutane chit chat
 
Back
Top Bottom