Guantanamo Sobibor
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 897
- 1,133
ndo inabidi mwendo uwe huo..au laa uachwe kama wengerA ha ha Livarpool kanunua centerback kwa bei aliyonunuliwa Morata na Lukaku.
uliangalia game ya Jana na Newcastle!?..city wamechoka wasipoangalia January inaweza kutia shubiri kwenye sharbati yaoInahitaji roho ngumu sana kupingana na uhalisia kuwa City are on the league of their own.Wanacheza kandanda safi na wanapata matokeo ni swala la muda tu kabla hawajatawazwa kuwa mabingwa wapya wa EPL.
Msimu huu je?Ubovu angeonesha msimu uliosha had alikuwa anaitafuta nasaf ya nne kwa toch dadek hata kikombe cha maj hamna
Hakunaaaa . ....hata ligi yetu ya mchangani VPL haipo hivyoNgoja nikuulize swali moja,au mawili.
Niligi gani ulaya miongoni mwa ligi tano kubwa ambazo timu yakwanza inaogoza ligi kwa point 15 zaidi ukitoa EPL?.
Ingekuwa game ya mwisho inapoishia ndio inapoanzia game inayofuata hii hoja yako ingekuwa na mashiko lakini kumbuka wanaenda kuoga kulala na kufanya mazoezi basi tegemea kitu tofauti mechi ijayo, tena watakushangaza tuuliangalia game ya Jana na Newcastle!?..city wamechoka wasipoangalia January inaweza kutia shubiri kwenye sharbati yao
huenda hujawahi kushiriki ligi yoyote ya kandanda,ungejua inavyochosha kucheza mechi tatu ndani ya wiki..ndani ya mwezi huu pamechezwa mechi 10 had januari..ndio maana kuna kitu kinaitwa rotation ya wachezaji..weekend wanacheza tena plus FA inaanzaIngekuwa game ya mwisho inapoishia ndio inapoanzia game inayofuata hii hoja yako ingekuwa na mashiko lakini kumbuka wanaenda kuoga kulala na kufanya mazoezi basi tegemea kitu tofauti mechi ijayo, tena watakushangaza tu
Mkuu subirihuenda hujawahi kushiriki ligi yoyote ya kandanda,ungejua inavyochosha kucheza mechi tatu ndani ya wiki..ndani ya mwezi huu pamechezwa mechi 10 had januari..ndio maana kuna kitu kinaitwa rotation ya wachezaji..weekend wanacheza tena plus FA inaanza
Msimu uliopita? old news Hatukuwa vizuri, tulikuwa hovyo, hatukujua mpira sawa. ila tunaongelea msimu huu. maana kuna msimu tuliwapiga 6 - 1, hayo ni old news.Msimu uliopita alikuwa wap wakat anapigwa nne nne na wakina everton? Epl bado ligi ngumu bila usajili wa maana pale hutok
Mwaka jana Hakumfunga Man UMwaka jana alifanya nn ndugu?
Binadamu kuangusha kabat huwa sio inshu wala story ila mende akiangusha kabat basi huwa story big story kwani ni kitu kipya so lazima miwe hivyo waliozoea ushindi huwez kukut wanafungua thread kwa sababu ni kitu kipo kama kawaida sasa nyie lazim mpagawe.Msimu uliopita? old news Hatukuwa vizuri, tulikuwa hovyo, hatukujua mpira sawa. ila tunaongelea msimu huu. maana kuna msimu tuliwapiga 6 - 1, hayo ni old news.
Aisee ni kweli tumepagawa, Ila kumbuka mashabiki wa mancity sio wengi na sisi ni wa juzijuzi tu, sikuwa shabiki wa mpira ila ile siku naona Mancity anaifunga Man U 6 - 1 wakawa wanasema mende kaangusha kabati. ndio siku nilianza kushabikia epl. jezi nikanunua Mancity.Binadamu kuangusha kabat huwa sio inshu wala story ila mende akiangusha kabat basi huwa story big story kwani ni kitu kipya so lazima miwe hivyo waliozoea ushindi huwez kukut wanafungua thread kwa sababu ni kitu kipo kama kawaida sasa nyie lazim mpagawe.
Binadamu kuangusha kabat huwa sio inshu wala story ila mende akiangusha kabat basi huwa story big story kwani ni kitu kipya so lazima miwe hivyo waliozoea ushindi huwez kukut wanafungua thread kwa sababu ni kitu kipo kama kawaida sasa nyie lazim mpagawe.
Mkuu usisahau leo kucheki ctyhuenda hujawahi kushiriki ligi yoyote ya kandanda,ungejua inavyochosha kucheza mechi tatu ndani ya wiki..ndani ya mwezi huu pamechezwa mechi 10 had januari..ndio maana kuna kitu kinaitwa rotation ya wachezaji..weekend wanacheza tena plus FA inaanza