brightangel
Member
- Oct 11, 2017
- 20
- 19
Karibu sana!Hi, nawapendaaa,
Mimi ndo nimepewa jukumu la kupokea wageni. Njoo pm nikupe maelekezo
Hahahaha aiseeKaribu sana.
Na imani hupajui pm mimi ndio nahusika na hicho kitengo karibu pm nikujuze zaidi
Karibu sana mi ndio mwenye jina na avatar hii, karibu.Hi, nawapendaaa,
karibu sanaHi, nawapendaaa,
Shhhhhhhhhh.....! Usicheke kwa sauti, atastuka.Hahahaha aisee
Poa mkuuShhhhhhhhhh.....! Usicheke kwa sauti, atastuka.
Kumbe anaitwa AngelaKaribu sana Angela
Yap yapKumbe anaitwa Angela