Newcomer

Hello wanajamii forum,ni member Mpya. Sina mengi Zaid Ya kuwatakia mwaka wenye mafanikio kwenu na Familia Zenu. Mungu hawatangulie kw Kila jambo LA heriii...!

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu Alolo,Kwa niaba yangu Binafsi na wewe pia Nakutakia Mwaka wenye heri nyingi na mafanikio...Karibu sana tuwe pamoja katika Uwanja huu wa Jamiiforums.
 
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…