:kev::kev:mwaka huu watabiri watakuwa wengi mpaka basi,ili mradi kila mtu anasema la kwake.Ila mwisho wa siku wapo watakao cheka na pia wapo watakao nuna kwani nafasi ni chache na wanao tegemea kupata chance hizo ni wengi.Kwa wale wa degree msitegemee sana nafasi ni chache.samahani kama nitakuwa nimewakwaza.:A S 27: :A S 27: :tonguez: