Kama mwalimu, tena wa 'language" kama unavojinadi....Mkuu sikua serious ! Katka maandishi . Najua kabsa kwamba hakidetermine uwezo wa mtu.so nimeandka tu.
Weka hii kwenye nafazi za kazi au ajira..Mwalimu wa literature history english language ,o level to advance level napatkana kwa mwenye tempo na pia anaetaka tution, na mhitimu kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam:BA ED. Napatikana dar