bogota the king
Member
- Feb 3, 2012
- 77
- 48
Wakifungwa ndipo nitaamini kua kweli wameshugulikiwa. Hawa watu siyo wema kabisa:
1. Prof Mushi
2. Prof Machiwa
3. Prof Mrema
4. Fransis Kiama
Habari za uhakika kabisa ni kwamba Mkuu wa chuo cha mkwawa iringa amepewa barua ya kukabidhi ofisi ifikapo Jumatatu asubuhi sambamba na wasaidizi wake 2! Na hii inatokana na tuhuma nzito za matumizi na usimamizi mbovu wa mali za chuo hiko ikiwa ni pamoja na wizi wa pesa za mikopo kwa wanafunzi kutoka LOAN Board zinazomgusa moja kwa moja mkuu huyo! Tayari PCCB imewahoji kwa kirefu watuhumiwa wote wa wizi huo! Na hii inaashiria hatua moja ya kuwafikisha mahakamani wahusika wotze!
Source! Mtu wa ndani katika chombo cha maamuzi mkwawa.
Wakifungwa ndipo nitaamini kua kweli wameshugulikiwa. Hawa watu siyo wema kabisa:
1. Prof Mushi
2. Prof Machiwa
3. Prof Mrema
4. Fransis Kiama
Hayo majina mbona yanafanana na wapigaji wa KASKAZINI? Halafu ndo tuwape nchi???!!!!
Hayo majina mbona yanafanana na wapigaji wa KASKAZINI? Halafu ndo tuwape nchi???!!!!
Prof halafu unaenda kusumbuliwa mahabusu,,,,dah
Hayo majina mbona yanafanana na wapigaji wa KASKAZINI? Halafu ndo tuwape nchi???!!!!
Hayo majina mbona yanafanana na wapigaji wa KASKAZINI? Halafu ndo tuwape nchi???!!!!
huna akili, unafikiria kwa kutumia tigo yako. Idiot, watu wa kazkasin wanahuka vp. Watu wa chache ndo ugeneralize. Mbaguzi mkubwa we
Mkuu, Inaitwa "TAASISI YA KUZUA NA KUPAMBA RUSHWA" This is their right name.Ah,,,labda kukabidh ofis,lakin hili la TAKUKURU wala silitilii maanani,TAASIS YA KUKUZA NA KUPAMBA RUSHWA
Cha ajabu zaidi ni kwamba Mke wa waziri mmoja katika wizara nyeti amepewa shavu la kuiongoza taasisi hii ya Umma! Wapigaji hawawezi kuisha hata siku moja nchi hii mpaka mawaziri waingie jela kwa kifungo cha muda mrefu!
Unaumwe wewe. Kina maranda ni wa kaskazini? Tabia ya mtu haijalishi kabila lake. Yawezekana hata wewe katika eneo lako ni fisadi wa kutupwa haijafika siku tu... Hao mlowakabidhi nchi kwa miaka 50 wametufikisha wapi?? Think Loud...Hayo majina mbona yanafanana na wapigaji wa KASKAZINI? Halafu ndo tuwape nchi???!!!!
kazi imeanza
sidhani kama unaitwa free world, yafaa uitwe free mouthHayo majina mbona yanafanana na wapigaji wa KASKAZINI? Halafu ndo tuwape nchi???!!!!