Swali. Zimetoka kwenye fungu gani? Au ni mafisadi wametoa walizoiba na kuwapelekea jamaa zetu Zimbabwe. Inachekesha sana wakati wazee wa EAC, waalimu na wengine wana madai mengi tu serikali inasema haina hela. huku mabulungutu yakipelekwa Zimbabwe. Sijui kuna interest gani huko. Mwanakijiji ukiweza chimba tupate motive ya kupeleka hizo hela, labda kuna ajaneda ya siri.
...acha wewe,yaani hizo dola elfu sabini tuu kusaidia maskini wenye shida unalalamika kama umeibiwa vil;e,kumbe ni kimsaada kadogo tuu...ajenda gani ya siri kwa pesa ndogo kama hiyo!
...acha wewe,yaani hizo dola elfu sabini tuu kusaidia maskini wenye shida unalalamika kama umeibiwa vil;e,kumbe ni kimsaada kadogo tuu...ajenda gani ya siri kwa pesa ndogo kama hiyo!
Tunaangalia matawi ya juu ya tatizo badala ya kuangalia mzizi wa tatizo.
Kama Zimbabwe ikiendelea kuwa na Mugabe for the next 10 years na kutokana na policies zake mbaya kipindupindu kikaendelea miaka 10 tutaendelea kuwasaidia for the next 10 years?
Kiini cha tatizo ni Mugabe na siasa zake mbaya, akiondoka Mugabe kuna uwezekano mkubwa sana Zimbabwe ika shine once again.
Mtoeni Mugabe mambo mengi tu yatakaa sawa.
You are wrong in many ways:
1) Zimbabwe's problems were not caused by Mugabe
2)Forcible intervention on humanitarian grounds is illegal as the only case intervention is legitimate is 'the right of self defence' as stated in article 51 of the UN charter in other words, there is no provision for intervention on humanitarian grounds.
So your arguments are flawed to the max
Huo Msaa ni 75million Zimbabwe Dollar au 75 Million US Dollar?.
Hatukatai ni jambo zuri sana kusaidia wenzetu lakini mi nafikiri wema usizidi uwezo na wema usichukuliwe kama another opportunity ya "Ufisadi". Nchi yetu kwa sasa ipo katika njia panda, Huwezi kusaidia mtu hela za Msaada ulizosaidiwa wewe.
Nafikiri Njia pekee ya kuisaidia Zimbabwe ni hizo hela kutumika na jeshi letu kumtoa Mugabe madarakani kama hataki kutoka kwa hiyari yake. Matatizo yote haya ni outcome ya kumwachia Mugabe ang'ang'anie madaraka. Na hapa sasa tunaona kuwa cost ya Mugabe inavuka mpaka mipaka yake. Hizi 75 Mil USD zingeweza kuwarudisha wanafunzi wetu Vyuoni kama Mugabe angeheshimu uamuzi wa wananchi.
Kuna msemo usemao "Warabu wa pemba wajuana kwa viremba", na njia hii inaonesha ni jinsi gani Tanzania inamuona Mugabe kuwa yupo sahihi kwani mchezo alioucheza ni mchezo wetu hata sisi Tanzania * Ref: Uchaguzi wa Zanzibar*