Miundombinu waziri ni kawambwa,naibu wake chibulunje. Mawasiliano waziri ni msola, kilimo waziri ni wasira na tamisemi waziri ni celina kombani.
Sioni jipya
Duh wazee mtanisamehe nimechelewa na mimi listi niliyonayo so far ni hii
DR SHUKURU KAWAMBWA -MIUNDOMBIU
DR STEPHEN WASIRA- KILIMO
DR MSOLA-MAWASILIANO
KOMBANE TAMISEMI
CHIBULUNJE NAIBU WAZIRI MAWASILIANO
MAHANGA -NAIBU WAZIRI WIZARA YA KAZI
Celina Kombani- amepanda cheo!!! ( I support)
. DR SHUKURU KAWAMBWA -MIUNDOMBIU
MAHANGA -NAIBU WAZIRI WIZARA YA KAZI
Hebu tupe sababu ya kusupport
Network Error (tcp_error)
A communication error occurred: "Connection refused"
The Web Server may be down, too busy, or experiencing other problems preventing it from responding to requests. You may wish to try again at a later time.
For assistance, contact your network support team.
1
According to the dataz, huyu mkulu ni ndugu wa karibu wa muungwana, level ya ujomba, uwezo wake kikazi haufahamiki ila ni mstaarabu na ni mkimya huwa haongei kabisa! Sasa tutaaamua wenyewe kama anafaa, au?
Waheshimiwa mawasiliano ndio wizara rahisi kuliko zote kwa kuwa mambo mengi yanafanywa na Agency ya TCRA....
Mengine ya kufanya yapo... isipokuwa tu... watanzania hawawezi kuhoji... well, mawaziri ni wanasiasa tu!!!
GT,
Sahihisho kidogo tu. Wasiri si Dr. Anayo digrii ya MA.
Mkuu,
Kama unaamini hivyo, ndio maana bado tunasua sua kwenye ICT. Hiyo wizara kwasasa ndio muhimu mno maana inatakiwa ije na innovations kibao ikiwemo e-governance.ambayo inaweza kuondoa matatizo chungu nzima ikiwa ni pamoja na corruptions na safari zisizo na maana kwenye mikutano isiyoisha.
Hiyo wizara kwa nchi kama za kwetu inatakiwa ishikwe na kichwa hasa ambaye anaweza kuziona opportunities mbalimbali. Kwa kumpeleka Msola hapo tayari tunabaki kule kule.
Matokeo yake yule director Kowello pale ICT atakuwa na nguvu mno na ataendelea kuiyumbisha hiyo wizara.
Ahsante mkuu!!!
Du kumbe amesoma MA... MA gani mkuu wangu,,, nisadie kidogo!!!
Mkuu Kasheshe,
Huyu Kawambwa, mimi siumjui isipokuwa ni baada ya kuwauliza wakulu huko ndani ndio wakanipa hizo dataz kwamba ni mbunge wa somewhere huko Bagamoyo, ambako pia aliwekwa na muungwana mwenyewe, na kwamba ni ndugu level ya ujomba, sasa kama you know tofauti siwezi kukubishia, isipokuwa ninawaaminia sana walionipa hizi dataz,
Mimi mfuatiliaji wa Vipindi vya Bunge huyu mama, sina shaka naye...Na wengi wao huko ndani wameusifia uteuzi wa Kombane tu kuwa una-make a sense, hata yeye simjui vizuri kwa sina comments nyingi na huu uteuzi kwa sababu kwangu ninaona kuwa muungwana ana kazi kubwa sana ya kubadilisha kila wakati, maana ninajua kuwa kuna more ugly scandals zinakuja ambazo zitawatoa mawaziri wengi sana, kwa hiyo huu sio mwisho, na swali muhimu hapa ni je watafanya kazi saa ngapi? Kuanzia mawaziri na yeye muungwana, maana sasa hivi kazi ni kusikilizia kesho itakuwaje na habari mpya za ufisadi?
Wassira alisoma uchumi na administration. Nadhani hiyo MA alipata katika mambo ya
admin. ingawa sina hakika kwani ameondoka Marekani miaka mingi tu.
Mkuu Kasheshe,
Huyu Kawambwa, mimi siumjui isipokuwa ni baada ya kuwauliza wakulu huko ndani ndio wakanipa hizo dataz kwamba ni mbunge wa somewhere huko Bagamoyo, ambako pia aliwekwa na muungwana mwenyewe, na kwamba ni ndugu level ya ujomba, sasa kama you know tofauti siwezi kukubishia, isipokuwa ninawaaminia sana walionipa hizi dataz,
?
Wassira alisoma uchumi na administration. Nadhani hiyo MA alipata katika mambo ya
admin. ingawa sina hakika kwani ameondoka Marekani miaka mingi tu.