ndugu mwandishi nimesikitika sana kuona mheshimiwa kama huyu labda tatizo lake kijana ni kushika pesa umri mdogo,.ndio maana analeta dharau hata kwa wenye ukimwi,,yeye mwenyewe namshauri akapime maana yule bibi pale TRA aliekuwa anamla uroda hali yake ni mvutano,,
PILI:Bwana yono sioni ajabu kuwaambia wenye ukimwi wawekewe alama,,kama wewe una uwezo wa kuondoa ndugu zako,,majuzi tu kamlaza mwanae huko kilimanjaro sababu ya uchawi,,mwezi aujapita kamlaza mdogo wake,,we ndugu yangu kibaya zaidi waakati unapokea msiba wa mwanao pale airport unachungulia then unacheka ,,kaka yetu hata kama UTAJIRI bado,,jitahdi ulindee ndugu zko hata ukija kufa na UKIMWI na wewe NDUGU au watoto waweze kukulindia mali zako,,ukome na semi zako bunge si la kujipatia sifa ndugu yangu,,na ukitamka pale usifikkirivideo inaishia YONO ACT MART,watu wananukuu ndio maana pale bunge kuna vitu vya kurekodi kushindana na wanaosema pumba kama wewe,,tunaomba jitahdi upate utajiri wa baraka achana na xxxxxxxx
ahsanten