Mwalimu wa shule ya msingi elimu yake duni, maisha yake magumu, kichwani kutwa anawaza ata survive vipi, halafu tunatarajia ataweza kufundisha vijana wetu vizuri, huu ni u-chizi. Hadi hapo serikali yetu itambue ni kwa nini elimu ya msingi iliitwa elimu ya msingi, hapo ndipo mambo yatakaponyooka.