herio
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,245
- 4,320
Baada ya mechi ya leo dhidi ya watani wa jadi Yanga, mechi kubwa na ngumu tunayoisubiri Ni dhidi ya mahasimu wetu kwenye bara la Africa Wydad Casablanca
Baada ya draw ya caf kuchezeshwa nadhani wengi wamekuwa wakitubeza lakini kutokana na mechi ya leo nataka niwahakikishie ndugu zangu kwamba hakuna kinachoshidikana...
Hakika kocha akija na game plan kama ya Leo wydad kwa mkapa hatoki
Mechi ya leo imenikumbusa World cup final dhidi ya Argentina vs France
Congratulations 🦁 🦁
Baada ya draw ya caf kuchezeshwa nadhani wengi wamekuwa wakitubeza lakini kutokana na mechi ya leo nataka niwahakikishie ndugu zangu kwamba hakuna kinachoshidikana...
Hakika kocha akija na game plan kama ya Leo wydad kwa mkapa hatoki
Mechi ya leo imenikumbusa World cup final dhidi ya Argentina vs France
Congratulations 🦁 🦁