Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ni kutokana na Wimbo wake Kabambe unaozungumzia Utekaji wa watu kutupwa Ununio
Namshauri aongozane na Mwanasheria wake.
=======
Msanii Nay wa Mitego amesema amepokea barua ya wito kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), kufika kwenye kikao ili kujadili wimbo wake wa ‘Nitasema’ kilichopangwa kufanyika asubuhi ya leo.
Nay amesema wakati anapokea wito huo alikuwa safarini hivyo amepanga kufika Ijumaa Septemba 27, 2024 saa sita mchana.
“Mashabiki wangu na Watanzania wapenda haki wote kwa ujumla mimi na nyinyi letu ni moja na tutashinda kwenye kila jaribu kwa sababu sauti ya wengi ni sauti ya Mungu na haki huinua Taifa.” ameandika Nay.
Soma Pia:
Namshauri aongozane na Mwanasheria wake.
=======
Msanii Nay wa Mitego amesema amepokea barua ya wito kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), kufika kwenye kikao ili kujadili wimbo wake wa ‘Nitasema’ kilichopangwa kufanyika asubuhi ya leo.
Nay amesema wakati anapokea wito huo alikuwa safarini hivyo amepanga kufika Ijumaa Septemba 27, 2024 saa sita mchana.
“Mashabiki wangu na Watanzania wapenda haki wote kwa ujumla mimi na nyinyi letu ni moja na tutashinda kwenye kila jaribu kwa sababu sauti ya wengi ni sauti ya Mungu na haki huinua Taifa.” ameandika Nay.
Soma Pia:
- Msanii Nay wa Mitego ahojiwa na Polisi na kufunguliwa kesi ya Uchochezi
- Kuelekea 2025 - Wasanii kujiingiza kwenye siasa na kuwa machawa ipi faida yao kama nao wanashiriki kuingiza wananchi shimoni?