Ney wa Mitego amuuliza Idris Sultan mil. 500 zimeishaje?

tunasomana mkuu kumbe tupo jirani na hizo nyumba...
 
Kikubwa nachojua mimi swali liwe kubwa au dogo lazima mhusika(muulizwaji) ajibu hasa ukizingatia swali lenyewe lina uzito kwa jamii yetu
 
nina ubuyu wa kutosha kuhusiana na hizi nyumba kwa maana zipo kama apartments pale round about ya kuelekea girrafe..ila ngoja niweke hakiba ya maneno
Mavi acha hizo,unatupa dondoo unatuacha kwenye kizungumkuti...
 
Watu wa Chadema kwa mambo ya kike.. Huyu Ney alikua team ya wasanii wa Chadema
 
duh! kweli madem cyo watu wa mchezo mchezo, hongera chaa_lii ya R kwa kugraduate umaskini
 
Alifikiria kufuatwa na wanawake lukuki tena wenye majina ni kupendwa,ila akipata tena hatarudia!!!
sasa si mpaka apate tena sio maji ya kunywa yale kuwa anaweza pata kila siku [emoji2] [emoji2]
 
Alizawadiwa hiyo nyumba na mwarabu familia ya jamaa wa furniture centre sikuhizi GSM ....

Swali jiulize huo urafiki wa mwarabu na mbongo hadi kupeana ghorofa wapi na wapi
Hakuna zawadi ya bure nyumba nzuri hivyo ya bure kitu kitu gani nyumaa
 
Dah! hawa Wahenga walikuwa wapumbavu eti "mjini shule!"
 
Idriss alikutana na maharamia wa mji..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…