hibiscus interior
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,168
- 595
Kumbe jibu unalo. Pesa imeenda kwenye umaaarufu usioisha.Umaarufu usioisha[emoji12]
Mungu hutoa kwa zamu now it's a tym for othersAlifikiria kufuatwa na wanawake lukuki tena wenye majina ni kupendwa,ila akipata tena hatarudia!!!
dah Arusha ameshahamaDuhh, yupo Chinaaa anakula bhata
Mbona domo hakumfirisiHakuna pesa nyingi kwa madam Wema hata ziwe znajaa kwa kontena yule dada co wa mchzo mchzo
Domo alikuwa anasaidiwa na Kina Clement na Mkongo,Haujaona yeye alivyotoa Murano Third Hand Mkongo akatoa BMW Mpya.Mbona domo hakumfirisi
Kwa sasa utamaduni wa kushobokeana na mashindano ya kijinga ndiyo fashion.So, mr.ney anataka apewe maelezo jinsi hela ya mwanaume mwenzake ilivyo2mika???...sio akili hio!
Too late..sex tege anajiitaga[emoji23][emoji23]Alifikiria kufuatwa na wanawake lukuki tena wenye majina ni kupendwa,ila akipata tena hatarudia!!!
Nna wasiwas na zile hundi may be ni show off ..atajitetea alipewa kidogomil 500 zimeisha hana hata nyumba kweli wanawake wa dar nouma sana tena wauaji vibaya mno
huyu jamaa nikimuangalia ni laini typical mfano wa wanaume wa dar. hivi anakula ugali kweli huyu?sijui alinunua ama kukopeshwa,lakini mnaweza kukadiria ni kiasi gani..Location:Mbezi Beach
Daaah! kumtaja MC Hammer umenikumbusha kibao chake Have you seen her?! Nimekumbuka zamani pale nilipokuwa sijui maana ya bili, sijui kwa nini watu wanafeli mitihani yaani acha tu.Milioni 500 inaweza kuwa nyingi au ndogo kulingana na matumizi.
Waswahili walisema "Pesa bila daftari, hupotea bila habari".
MC Hammer na Mike Tyson walipata nyingi kuliko hizo na zimeyayuka.
Fixed depost!! Hujasikia bank zimeanza kufilisika. Umesahau ya ile benk iliyofilisika na hela za watu, kama sikosei ni Meridian biao. Siku hizi heri utafute pa kutunza utajiri wako lakini si bank, labda hali ikitengemaa baadaye.Ningelikuwa mm ningechukua Tzs 350mil nafungua Fixed Deposit kila mwezi nakula interest
Mi 150 najenga nyumba na naanzisha biashara
Aendelee kusubiri, ni kweli labda atapata tenaAlifikiria kufuatwa na wanawake lukuki tena wenye majina ni kupendwa,ila akipata tena hatarudia!!!
Mi naona madam awakomeshe tu, mana wakipata mwanamke anayewahurumia wanakua na maneno ya karaha, mara utaambiwa umevaa wigi gumu km brashi ya viatu sasa kwa madam nywele tu ni km milioni.Hakuna pesa nyingi kwa madam Wema hata ziwe znajaa kwa kontena yule dada co wa mchzo mchzo