Ney wa Mitego amuuliza Idris Sultan mil. 500 zimeishaje?

Toka kuwa na 500 M mpk kuwa mtangazaji uchwara na sasa anatembelea nyota ya mwanamke ni bonge la kufeli kwenye maisha
 
Pole broo idrisa diamond alimkimbia Madam we ukaingia mzima mzima broo duuu zamafungu vile utaziskiaga tuuuuu
 
Wanawake ni hatari sana hasa bongo movie wao sio tuu wanaigiza muvi bali hata maisha ya kawaida wakikuta mshamba kama idris wanakukomba zote mwishowe wana ku damp
Watu wengi hawataki kujiuliza historia ya hawa wadada wa bongo movie au maisha yao kabla ya kuwa mastar yalikuwaje.
 
Kikubwa nachojua mimi swali liwe kubwa au dogo lazima mhusika(muulizwaji) ajibu hasa ukizingatia swali lenyewe lina uzito kwa jamii yetu
Mie kitambo toka 1997 tulihamia kukiwa porini kabisa, nipo mitaa ya nyambizi mzee
 
Alifikiria kufuatwa na wanawake lukuki tena wenye majina ni kupendwa,ila akipata tena hatarudia!!!
Mkuu you are so funny...hahahahaha..eti akipata tena...?

Hivi Magu hajamdai kodi? lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…