Huyu ndugu tulikuwa naye kwenye mapambano. Asitelekezwe.
CHADEMA kama chama kilicho dhamiria kuikomboa nchi hii kinapaswa kuwa na sera ya wazi kuwahusu wahanga wake.
Kuwa na mfuko kwa ajili ya wahanga kutatoa majibu ya maswali muhimu yanayowasibu wapambanaji kama huyu.
Kulikoni hata masuala ya mawakili kuwa juu ya wahanga?
Wapambanaji kama hawa matatani, hakuwezi kuwa dili wala kutafsiriwa kuwa ni kujichumia janga.
Hawa walistahili huduma, first class.
==
Pia soma:
Nay wa Mitego aitwa BASATA
BASATA: Tulimzuia Nay wa Mitego kufanya shoo kwa kuwa amekataa wito wetu mara mbili
Msanii Nay wa Mitego ahojiwa na Polisi na kufunguliwa kesi ya Uchochezi
CHADEMA kama chama kilicho dhamiria kuikomboa nchi hii kinapaswa kuwa na sera ya wazi kuwahusu wahanga wake.
Kuwa na mfuko kwa ajili ya wahanga kutatoa majibu ya maswali muhimu yanayowasibu wapambanaji kama huyu.
Kulikoni hata masuala ya mawakili kuwa juu ya wahanga?
Wapambanaji kama hawa matatani, hakuwezi kuwa dili wala kutafsiriwa kuwa ni kujichumia janga.
Hawa walistahili huduma, first class.
==
Pia soma:
Nay wa Mitego aitwa BASATA
BASATA: Tulimzuia Nay wa Mitego kufanya shoo kwa kuwa amekataa wito wetu mara mbili
Msanii Nay wa Mitego ahojiwa na Polisi na kufunguliwa kesi ya Uchochezi