Ney wa Mitego, atangaza kuanzisha kanisa

BEHOLD

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
5,056
Reaction score
10,721
Akiongea kupitia Radio One, Kijana huyu amesema ameshaanza ujenzi wa kanisa hilo ambalo moja ya taratibu zake ni waumini kutotoa sadaka. Ni kuabudu tu!

Kweli, Nyakati za mwisho wengi wataangamia na wengi pia wataokolewa.
 
Mtoa uzi unakimbizwa na nini lakini??

Embu tulia uje uandike upya aseww
 
Baada ya unga kubuma biashara ya kanisa itavuma sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…