kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,398
Kali sana, wasije kumteka tuNay ameamua kusema kile ambao wasanii wetu wengi wanakiogopa
Kweli ney ni rais wa kitaa..
Nimependa mistari iliopo kwenye wimbo huu na ni mzuri kusikiliza
Big up kwake
Mara nyingi hua yupo upande wa wananchi!
Amelitafakali swala la kutekwa na kulizungumzawasije kumteka tu
Mbona alishamuimba Hayati wakamkamata wakamuachia? Ashazoea haogopi vitisho.Kali sana, wasije kumteka tu