Ney wa Mitego: Magufuli akiniuliza nani hana marinda nitamjibu hivi

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Msanii huyu alikuwa akihojiwa kipindi cha XXL clouds FM alipoulizwa atakapoitwa na Rais na kuulizwa swali hilo atajibu vipi.

Alisema pale anamaanisha marinda anamaanisha nguo zilizowekewa marinda kama sketi, suti kuna marinda yanawekwa, sasa watu ambao hawana marinda wanakuwa hawana marinda..


Pia alifafanua kuhusu post yake ya Instagram aliyodai anatishiwa na kusema ni kweli anatishiwa japohakuwataja ni akina nani na suala hilo amelifikisha polisi.

Amesema kuna watu ambao hawakupendezwa na ule wimbo na wanamtisha hadi mama yake na wapo waliomshauri ahame nchi.

 
na huu ndio utata wa nyimbo ya jamaa anaposema kuna watu hawana marinda ana maanisha nini.
 
Bashite akiona hii makitu usingizi unamparama mazima.
 
Daaaah sijui nami nina marinda au
 
Wadau kuuliza si ujinga. Hapo kwenye marinda Ney kamaanisha nini?
 
Kwani Bashite naye hana malinda? Duh!
 
Marinda less..! qui qui qui...!
~utani mbaya huu.
Nani aliyeyapiga pasi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…