Ney wa mitego na BASATA

Ney wa mitego na BASATA

MALEBO

Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
64
Reaction score
14
Hivi ni kweli kabisa BASATA wameguswa na milegezo ya Ney wa Mitego mpaka kumwandikia barua ya onyo,au kuna kitu kingine behind the scene??na Kama wameamua kufatilia maadili nadhani walitakiwa kuanzia Bongo movies,mi nadhani wanataka kumu intimidate tu kijana wa watu ambaye anaimba kitu anachokifikiria,na kama ni hivyo wapi freedom of speech Tanzania??R I P sanaa ya bongo!
 
BASATA ndio kituko gani tena hiyo? WANAFKI NA WAKANDAMIZAJI WA WASANII.
 
labda wanaanza na huyo halafu ndio waendelee na wavaa nusu uchi kama Uwoya. hebu tuwe wapole tuone kitakachofuata.
 
labda wanaanza na huyo halafu ndio waendelee na wavaa nusu uchi kama Uwoya. hebu tuwe wapole tuone kitakachofuata.

Mkuu mi nadhani unapokuwa unasafisha Nyumba unaanza na sehemu chafu zaidi ndio uje sehemu za kawaida,huyo kijana na ule wimbo wake wa 'natuma Salam' ameanza kupokea vitisho na sasa BASATA wameingia kumu intimidate ili asiendelee na hiyo vita,ni swala la kuchekesha eti mwanaume anatumiwa barua ya kuonywa wakati Kina LULU wanapeta tu.
 
Basata wanafki

Waanze na bongo movies watu wanavaa uchi km nn
 
Back
Top Bottom