Ney wa mitego ni janga la taifa.

Ney wa mitego ni janga la taifa.

Mzanzibar Halisi

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2014
Posts
284
Reaction score
106
Nimesikiliza huu wimbo mpya wa ney wa mitego unaitwa mr nay.Anasema bongo nzima hip pop anafanya yeye wengine cjuwi wanaRap nini zaidi ya ubabaishaji?.Tena huyu jamaa kazidi kukufuru anasema anajulikana duniani,kuzimu mpk akhera na maneno mengi tu kaongea humo ndani.Na kama kawaida yake kadiss wasanii wenzake kama yeye mkali wa Hip pop yake ina ujumbe gani? Mtazamo wangu huyu jamaa sio kioo cha jamii anapotosha kizazi hichi kwa nyimbo zake hasa ile nakula ujana.BASATA iko wapi?
 
Nimesikiliza huu wimbo mpya wa ney wa mitego unaitwa mr nay.Anasema bongo nzima hip pop anafanya yeye wengine cjuwi wanaRap nini zaidi ya ubabaishaji?.Tena huyu jamaa kazidi kukufuru anasema anajulikana duniani,kuzimu mpk akhera na maneno mengi tu kaongea humo ndani.Na kama kawaida yake kadiss wasanii wenzake kama yeye mkali wa Hip pop yake ina ujumbe gani? Mtazamo wangu huyu jamaa sio kioo cha jamii anapotosha kizazi hichi kwa nyimbo zake hasa ile nakula ujana.BASATA iko wapi?

Ni mtazamo tu!! Ukimchukulia msanii kana kioo cha jamii you need your medula observed!!! Kwangu mimi msanii ni choo cha jamii radhi kwa wale watakaokwazika! Ni mtizamo tuu..!!!
 
Fikra huru should be encouraged. Wasanii hawapashwi kuwa kioo cha jamii wanapashwa kuji-express jinsi walivyo....
 
Hiyo ndio style yake,hip hop yake yeye ni ya kuponda na ndio iliyo mtoa kimziki.

He is just being himself
 
Huyu mtu ananikera mimi,basi tu nimemuheshimu baada ya kuuona mjengo wake
 
nampenda sana tru boy hao wenu wa ukweli hata vbanda vya choo hawana!
 
Back
Top Bottom