Ney wa Mitego: Ukiachana na mwanamke usikimbilie kutafuta mwingine tulia kwanza

Ney wa Mitego: Ukiachana na mwanamke usikimbilie kutafuta mwingine tulia kwanza

issa ramadhani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2014
Posts
1,319
Reaction score
260
Wadau,

Ney wa Mitego baada ya kuachana na Siwema ametoa kali ya mwaka kuwa ukiachana na mwanamke usikimbilie kutafuta mwingne haraka maana hata huyo utakaembilia utaachana nae.

Wadau hii ni sahihi
 
Hii imekaa kicelebrity zaidi..... nyway... inaitwa bouncing back ...ni mbaya sana kwa sababu ome is acting under emotions than kutumia akili yake. Anajaribu kuziba pengo la upweke pasipokuwaza pengine ndo anaingiza mdudu pekepeke atakaezidi kulipekecha pengo hilo.....

Time always is a very good healer
 
mmmhh angekuwa na kila mtoto na mamake?????
 
Back
Top Bottom