hahaha..Ndo kina nani hao??
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Ndo kina nani hao??
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
kwani ney alikuwa anakula mzigo?tufahamishane jamani?
Ndo kina nani hao??
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
kwani ney alikuwa anakula mzigo?tufahamishane jamani?
Vipi nawewe unatafuta umaarufu kupitia hao nini? Wakubali hata kama huwapendi wenzio wametumia vipaji vyao kujitangaza.
Vipi nawewe unatafuta umaarufu kupitia hao nini? Wakubali hata kama huwapendi wenzio wametumia vipaji vyao kujitangaza.
Hata mimi namshangaa analeta sanaa hapa. Ila tumsamehe watanzania hatupendani kabisa
Vipi nawewe unatafuta umaarufu kupitia hao nini? Wakubali hata kama huwapendi wenzio wametumia vipaji vyao kujitangaza.
Ndo kina nani hao??
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Ni ktk kindi cha take1 cha Clouds TV, Ney alihojiwa na Zamaradi kuhusu mashairi ya Ngoma yake mpya yanayosema ,"Makahaba wa kiwango cha juu wapo Bongo movie", hapo alitakiwa kuthibitisha alichokisema ndipo alipowataja mastaa watatu ambao walimfanya kugundua kuwa huko kuna ukahaba, mwisho akamalizia kuwa wasichana wafanye movie na sio ukahaba maana watapotea machoni mwa watu kwa muda mfupi tu kama ilivyokua kwa SINTA. Hicho ndicho nilichokisikia mimi.
acha umang'aa chali wangu cha ajabu nini kwana wao wamekuwa YESU na mama yake mariam kila mtu awajue hata mim huyo wa mitego cmjui.