Ney wa Mitego yupo live efm, kuwachana

kyalankota

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2014
Posts
2,594
Reaction score
1,462
Yupo anahojiwa na akina Gardner, Seth na Mpoki.
Anawachana na kuwashikisha adabu wazee wa mikorogo, team kibisa, wala bata wanaolala kwenye gari n.k.
Stay tuned
 
Ni upumbv kumpa Ney interview.. Ili iwe nin.? Huko ni kuchochea magomvi.
 
Jamaa yuko sawa. Mzee wa kula ujana. Ila si mbaya unachopata ukala na bi mkubwa na kingine ukanunua mkorogo. Sawa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…