ney wa mitego

itafahamika rmx jamaa kasema "haiuzi hiphop wala bongo fleva,mziki wetu umegota"
 
kabla ya hii topic nilikuwa simjui ney wa mitego, nimeenda youtube na kusikiliza wimbo wa itafahamika, ni balaa, imetulia, nausikiliza kila dakika, acha nijaribu na hizo nyimbo zake nyengine nione amevurugaje.

kaharibu sana. Sio yule ney wa mitego tuliyemjua
 
itafahamika rmx jamaa kasema "haiuzi hiphop wala bongo fleva,mziki wetu umegota"

sijui nini kifanyike ili hiphop irudi. Mwana fa hajawahi kuimba ila bado yuko juu. Jo makini hajawahi kuimba ila anapata tuzo tu. Fid q sijawahi msikia akiimba. Cha msingi wanachotakiwa kufanya hawa wana hiphop ni kuwa na mistari iliyosimama kisha kuweka nakshi ya koras ya maana ambayo pia itabeba wimbo
 
Af kuna kipindi flani alisema ataenda kitu ka Germany kufanya porn movie, hy issue sijui ndo imeishia wapi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…