Neymar ajiunga na Al Hilal ya Saudi Arabia

Ndiyo maana AzamTV ameanza kurusha Ligi yao hawa Jamaa

Kweli pesa ni balaa, hawa jamaa wakiamua kutengeneza Mlima Kilimanjaro wao wanaweza aisee πŸ™Œ
 
Kama mwanamke anaweza kuwa na pesa na mzee wa miaka 70yrs bila shaka je unashangaa pesa hyo hyo kubadilisha mtu kwenda timu isiyofaa? Yaani hela ipo halafu haina kazi sasa si ndio inafanya kazi hyooo? Au umesahau ya mzee wa iiipp?
 
Wewe ukiweka. mafuta kwny Trekta ukalime matikiti sehemu ya fedha hizo anapewa Neymar

Lima Tikiti ili Neymar apate mshahara
Pumbav sana we jamaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe ukiweka. mafuta kwny Trekta ukalime matikiti sehemu ya fedha hizo anapewa Neymar

Lima Tikiti ili Neymar apate mshahara
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…