Aisee!!nilijua atabadilika
Epl ni wanaume wa shoka! Wachezaji mayai kama huyo hawezi kusogeza pua yake epl!Huyu kijana angekwenda Epl..ingependeza zaiidi kama sababu yake kubwa ni kukwepa kivuli cha messi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alaa kumbe!!Epl ni wanaume wa shoka! Wachezaji mayai kama huyo hawezi kusogeza pua yake epl!
EPL ni mdomoni tu, tafuta kumbukumbu vizuri. Hili la Neymar limekaa ki UEFA zaidi. SubiriEpl ni wanaume wa shoka! Wachezaji mayai kama huyo hawezi kusogeza pua yake epl!