Hakunaga tena...Kwa kweli......wanafananisha tembo na sisimizi......Cr7 baba lao.....
Wengine wasubilie mwendokasi zanzibar......Hakunaga tena...
Hakunaga tena...
Messi alikuwa zamani mkuu,sasa hivi nae anapwaya kumfananisha na CR7.wewe usirudie tena kuuliza majibu badala ya maswali.kumfananisho CR7 na neymer sawa na kusema tumfananishe MAVUGO na messi..usirudie tena..CR7 ni zaidi ya neymar mara kumi..
wewe mfananishe CR7 na messi
Messi alikuwa zamani mkuu,sasa hivi nae anapwaya kumfananisha na CR7.
uwe unaangalia mechi za fcbMessi alikuwa zamani mkuu,sasa hivi nae anapwaya kumfananisha na CR7.