Ngao ya Hisani/jamii msimu wa 2020/21 SIMBA vs YANGA?

wazunguwawili

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2019
Posts
3,984
Reaction score
4,132
Nawakumbusha tu, msijisahau leo mnapowashabikia Namungo huko Nelson Mandela Swanga.

Kuwa kwenye kufungua msimu tunapiga gongowazi aka utopolo aka manyani fc goli nyngine za kutosha.

Labda TFF wawaokoe.
 
Nawakumbusha tu, msijisahau leo mnapowashabikia Namungo huko Nelson Mandela Swanga.

Kuwa kwenye kufungua msimu tunapiga gongowazi aka utopolo aka manyani fc goli nyngine za kutosha.

Labda TFF wawaokoe.
Yanga anatokea wapi wewe? Shield ni Simba vs Namungo
 
Nawakumbusha tu, msijisahau leo mnapowashabikia Namungo huko Nelson Mandela Swanga.

Kuwa kwenye kufungua msimu tunapiga gongowazi aka utopolo aka manyani fc goli nyngine za kutosha.

Labda TFF wawaokoe.
Acha uongo banà..labda kama unatania.

Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
 
Yanga atacheza na mshindi wa pili ligi daraja la kwanza Geita Gold ili kupata mshindi wao. Hao ndio saizi yao.
Home team haiwezi kucheza na utopolo aisee
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…