wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Yanga anatokea wapi wewe? Shield ni Simba vs NamungoNawakumbusha tu, msijisahau leo mnapowashabikia Namungo huko Nelson Mandela Swanga.
Kuwa kwenye kufungua msimu tunapiga gongowazi aka utopolo aka manyani fc goli nyngine za kutosha.
Labda TFF wawaokoe.
Acha uongo banà..labda kama unatania.Nawakumbusha tu, msijisahau leo mnapowashabikia Namungo huko Nelson Mandela Swanga.
Kuwa kwenye kufungua msimu tunapiga gongowazi aka utopolo aka manyani fc goli nyngine za kutosha.
Labda TFF wawaokoe.
Home team haiwezi kucheza na utopolo aiseeYanga atacheza na mshindi wa pili ligi daraja la kwanza Geita Gold ili kupata mshindi wao. Hao ndio saizi yao.