Ngao ya hisani ni bingwa wa nchi na bingwa wa kombe la shirikisho, kwanini Yanga acheze?

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
3,085
Reaction score
4,890
Wadau Bila kupepesa Maneno na kwa Mujibu wa KATIBA ya TFF Mchezo wa Kugombania NGAO ya HISANI huwa Baina ya Timu BINGWA wa NCHI na Timu BINGWA wa KOMBE la SHIRIKISHO.
SIMBA ndio BINGWA wa NCHI na SIMBA ndio BINGWA wa KOMBE la SHIRIKISHO

Je YANGA Anacheza kama BINGWA wa NINI?
Mechi ya LEO YANGA Hakupaswa KUCHEZA kwani hana SIFA HIYO
Najiuliza kwani TFF haikuzipanga Timu nyingine kama NAMUNGO au AZAM?
LEO HAKUKUPASWA KUWA NA MCHEZO HUU SIMBA ALITAKIWA APEWE NGAO YAKE
 
Mshindi wa pili wa shirikisho,kwa maana aliyecheza final na Simba kwenye shirikisho ambae ni Utopolo.

Kwa mfano ingetokea bingwa wa ligi ni Simba na bingwa wa shirikisho ni Azam basi wangekutana Simba na Azam ngao ya Jamii.hapo mshindi wa pili kwenye shirikisho asingekua na nafasi.
 
Leo nawatoa kafara Manchester United ili simba ashinde..

Ukiona man u kafa basi simba kashinda
 
Muulize Wallace Karia. Sisi kama Wananchi hatuna muda wa kujibu maswali ya aina hii.
 
Punguza hofu kichapo hakikwepeki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…