Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Naona matokeo mapema this time
Mechi itakuwa ngumu kipindi cha kwanza
.Cha pili yanga wataingia na kasi ya ajabu sana sana aijawahi kutokea
Kama baadhi ya wachezaji wa simba watashindwa kuvumilia hii kasi tutarajie penalty itatokea kwenye hii mechi
Yanga ana 75 perc ya ushindi mpaka sasa.........
Yanga anatakiwa acheze kwa nidhamu kubwa sana na na amini wataingia nayo hii
Baleke
Msonda
Mudathir
Aziz k
Aziz andambwile
Hawa watakuwa baadhi ya wauwaji wa kuimaliza simba
Otherwise mpaka sasa n hayo tu
Ulichonacho unashauriwa kutabiri
Rgds
Wakalatigopesa
Mechi itakuwa ngumu kipindi cha kwanza
.Cha pili yanga wataingia na kasi ya ajabu sana sana aijawahi kutokea
Kama baadhi ya wachezaji wa simba watashindwa kuvumilia hii kasi tutarajie penalty itatokea kwenye hii mechi
Yanga ana 75 perc ya ushindi mpaka sasa.........
Yanga anatakiwa acheze kwa nidhamu kubwa sana na na amini wataingia nayo hii
Baleke
Msonda
Mudathir
Aziz k
Aziz andambwile
Hawa watakuwa baadhi ya wauwaji wa kuimaliza simba
Otherwise mpaka sasa n hayo tu
Ulichonacho unashauriwa kutabiri
Rgds
Wakalatigopesa