Ngao ya Jamii, Yanga atashinda mechi jumla ya mabao kuanzia 3 nk. Aziz Ki/Dube/ Mudathir/ Baleke kuwanyoa Simba

Ngao ya Jamii, Yanga atashinda mechi jumla ya mabao kuanzia 3 nk. Aziz Ki/Dube/ Mudathir/ Baleke kuwanyoa Simba

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Naona matokeo mapema this time

Mechi itakuwa ngumu kipindi cha kwanza

.Cha pili yanga wataingia na kasi ya ajabu sana sana aijawahi kutokea

Kama baadhi ya wachezaji wa simba watashindwa kuvumilia hii kasi tutarajie penalty itatokea kwenye hii mechi

Yanga ana 75 perc ya ushindi mpaka sasa.........

Yanga anatakiwa acheze kwa nidhamu kubwa sana na na amini wataingia nayo hii

Baleke

Msonda

Mudathir

Aziz k

Aziz andambwile

Hawa watakuwa baadhi ya wauwaji wa kuimaliza simba


Otherwise mpaka sasa n hayo tu


Ulichonacho unashauriwa kutabiri


Rgds

Wakalatigopesa
 
NAONA MATOKEO MAPEMA THIS TIME

MECHI ITAKUWA NGUMU KIPINDI CHA KWANZA
.CHA PILI YANGA WATAINGIA NA KASI YA AJABU SANA SANA AIJAWAHI KUTOKEA

KAMA BAADHI YA WACHEZAJI WA SIMBA WATASHINDWA KUVUMILIA HII KASI TUTARAJIE PENALTY ITATOKEA KWENYE HII MECHI

YANGA ANA 75 PERC YA USHINDI MPAKA SASA.........

YANGA ANATAKIWA ACHEZE KWA NIDHAMU KUBWA SANA NA NA AMINI WATAINGIA NAYO HII

BALEKE
MSONDA
MUDATHIR
AZIZ K
AZIZ ANDAMBWILE

HAWA WATAKUWA BAADHI YA WAUWAJI WA KUIMALIZA SIMBA

OTHERWISE MPAKA SASA N HAYO TU

ULICHONACHO UNASHAURIWA KUTABIRI

RGDS
WAKALATIGOPESA
Ngao ya jamii iliyopita kwani alifungwa nani?

Tatizo wenye akili pale utopoloni ni wawili ila kwasasa ameongezeka mmoja mzee Magoma jumla watatu.

Mlisema hivi hivi kabla ya game lakini mwisho wa siku Simba aliibuka mshindi ngao ya jamii.

Mpira ni akili na hesabu sio mabavu sijui kasi unayoizungumzia wewe.

Utacheza kasi lakini wahuni wanakuweka komoja baada ya kingine na ngoma inaisha hivyo.
 
Ni wazi Yanga itaishinda mbumbumbu FC kwenye dkk 90 inshaallah, japo idadi ya magoli ndo hatuwezi kujua, ni siri ya Mungu, mzuka wa Yanga ni level ingine. Mshono wa kolowizard lazima ufumuliwe , goli moja la faulo la Chama, moja la kichwa Dube na moja la shuti kali Aziz Ki. Mzize na Max watafunga magoli ya kawaida, goli la mwisho ni penati ya Pacome, full time Yanga 6 - 0 Simba.
Niko paleee maskani Buza Mpalanger nawazoom makolo tu!!

Hofu yangu ni VAR kuihujumu Yanga magoli matatu maana nasikia yule refa aliechezesha mechi ya Yanga na Mamelodi ndo atakuwa katikati kuibeba kolowizard sanda FC !!!
 
Ngao ya jamii iliyopita kwani alifungwa nani?

Tatizo wenye akili pale utopoloni ni wawili ila kwasasa ameongezeka mmoja mzee Magoma jumla watatu.

Mlisema hivi hivi kabla ya game lakini mwisho wa siku Simba aliibuka mshindi ngao ya jamii.

Mpira ni akili na hesabu sio mabavu sijui kasi unayoizungumzia wewe.

Utacheza kasi lakini wahuni wanakuweka komoja baada ya kingine na ngoma inaisha hivyo.
Goli mbili saafi refa akazitia mfukoni ila safari hii zile alizo zitia mfukoni zitakuja na mapacha ila sijajua mapacha wangapi
 
  1. .... japo idadi ya magoli ndo hatuwezi kujua, ni siri ya Mungu
  2. .... full time Yanga 6 - 0 Simba.
Ulianza kwa kusema idadi ya magoli ni siri ya Mungu, baadaye ukaja kusema 6-0. Ina maana Mungu alikufunulia siri kadiri ulivyokuwa ukitype? Utopolo bwana, kama tu Manara alivyosema, vichwa havina akili kabisa
 
Naona matokeo mapema this time

Mechi itakuwa ngumu kipindi cha kwanza

.Cha pili yanga wataingia na kasi ya ajabu sana sana aijawahi kutokea

Kama baadhi ya wachezaji wa simba watashindwa kuvumilia hii kasi tutarajie penalty itatokea kwenye hii mechi

Yanga ana 75 perc ya ushindi mpaka sasa.........

Yanga anatakiwa acheze kwa nidhamu kubwa sana na na amini wataingia nayo hii

Baleke

Msonda

Mudathir

Aziz k

Aziz andambwile

Hawa watakuwa baadhi ya wauwaji wa kuimaliza simba


Otherwise mpaka sasa n hayo tu


Ulichonacho unashauriwa kutabiri


Rgds

Wakalatigopesa
Duke Abuya.
 
Back
Top Bottom