Ngara: Mwenge wa Uhuru Wazindua Mradi wa Maji wa Tsh. Bilioni 3

Ngara: Mwenge wa Uhuru Wazindua Mradi wa Maji wa Tsh. Bilioni 3

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Screenshot 2024-09-23 at 20-13-04 Kharidi Abdul (@kageradigital) • Instagram photos and videos.png

Mwenge wa Uhuru Wilayani Ngara umetembelea na kuzindua Mradi wa Maji Wenye Thamani ya shilingi Bilioni tatu chini ya Ufadhilii wa Benki ya Dunia kupitia LADP (Local Area Development Program) inayosimamiwa na NELSAP (Nile Equatorial Lake Subsidiary Action Program).

Mhandisi Simon Ndyamukama Meneja wa Wakala wa Usambazaji, Usafi na Mazingira Vijijini (RUWASA) ameeleza kuwa Mradi huo unahudumia Wananchi zaidi elfu 5,000 wa Kijiji cha Rusomo Mradio hua ulianza Rasmi Mwaka 2020.

Screenshot 2024-09-23 at 20-14-10 Kharidi Abdul (@kageradigital) • Instagram photos and videos.png

Muhandisi Ndyamukama amesema pia Mradi huo umetekelezwa na Mkandarasi M/s ECIA CO. LTD JV ABEMLO CONTRACTRS CO. LTD kwa Mkataba wenye Tsh Bilioni tatu.

Naye, Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. Ndaisaba Ruhoro ameipongeza Serikali ya Awamu ya sita Chini Dkt. Samia Suluhu Hassani kwa kuwezesha na kuhakikisha Mradi huo unakamilika kwani Wananchi wa kata ya Rusumo na sasa wataanza kutumia Maji safi na Salaama.

Wakati huo huo Mwenge wa uhuru ukiwa Wilayani Ngara umepitia jumla ya Miradi 7 na shughuli 9 zenye thamani ya shilingi Bilioni 5,162,001,623.60 na umekimbia Umbali wa Kilomita 66.

Itakumbukwa kuwa ujumbe wa Mwenge wa uhuru 2024 ni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uhifadhi wa Mazingira wenye Kauli mbiu isemayo "Tunza Mazingira na shiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Ujenzi wa Taifa endelevu.

Screenshot 2024-09-23 at 20-13-25 Kharidi Abdul (@kageradigital) • Instagram photos and videos.png
Screenshot 2024-09-23 at 20-14-24 Kharidi Abdul (@kageradigital) • Instagram photos and videos.png
 

Attachments

  • Screenshot 2024-09-23 at 20-12-38 Kharidi Abdul (@kageradigital) • Instagram photos and videos.png
    Screenshot 2024-09-23 at 20-12-38 Kharidi Abdul (@kageradigital) • Instagram photos and videos.png
    927.7 KB · Views: 3
  • Screenshot 2024-09-23 at 20-13-54 Kharidi Abdul (@kageradigital) • Instagram photos and videos.png
    Screenshot 2024-09-23 at 20-13-54 Kharidi Abdul (@kageradigital) • Instagram photos and videos.png
    777.3 KB · Views: 2
  • Screenshot 2024-09-23 at 20-14-41 Kharidi Abdul (@kageradigital) • Instagram photos and videos.png
    Screenshot 2024-09-23 at 20-14-41 Kharidi Abdul (@kageradigital) • Instagram photos and videos.png
    829.1 KB · Views: 2
  • Screenshot 2024-09-23 at 20-15-14 Kharidi Abdul (@kageradigital) • Instagram photos and videos.png
    Screenshot 2024-09-23 at 20-15-14 Kharidi Abdul (@kageradigital) • Instagram photos and videos.png
    776.3 KB · Views: 3
  • Screenshot 2024-09-23 at 20-15-00 Kharidi Abdul (@kageradigital) • Instagram photos and videos.png
    Screenshot 2024-09-23 at 20-15-00 Kharidi Abdul (@kageradigital) • Instagram photos and videos.png
    788.3 KB · Views: 2

NGARA: MWENGE WA UHURU WAZINDUA MRADI WA MAJI WA TSH. BILIONI 3

Mwenge wa Uhuru Wilayani Ngara umetembelea na kuzindua Mradi wa Maji Wenye Thamani ya shilingi Bilioni tatu chini ya Ufadhilii wa Benki ya Dunia kupitia LADP (Local Area Development Program) inayosimamiwa na NELSAP (Nile Equatorial Lake Subsidiary Action Program).

Mhandisi Simon Ndyamukama Meneja wa Wakala wa Usambazaji, Usafi na Mazingira Vijijini (RUWASA) ameeleza kuwa Mradi huo unahudumia Wananchi zaidi elfu 5,000 wa Kijiji cha Rusomo Mradio hua ulianza Rasmi Mwaka 2020.

Muhandisi Ndyamukama amesema pia Mradi huo umetekelezwa na Mkandarasi M/s ECIA CO. LTD JV ABEMLO CONTRACTRS CO. LTD kwa Mkataba wenye Tsh Bilioni tatu.

Naye, Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. Ndaisaba Ruhoro ameipongeza Serikali ya Awamu ya sita Chini Dkt. Samia Suluhu Hassani kwa kuwezesha na kuhakikisha Mradi huo unakamilika kwani Wananchi wa kata ya Rusumo na sasa wataanza kutumia Maji safi na Salaama.

Wakati huo huo Mwenge wa uhuru ukiwa Wilayani Ngara umepitia jumla ya Miradi 7 na shughuli 9 zenye thamani ya shilingi Bilioni 5,162,001,623.60 na umekimbia Umbali wa Kilomita 66.

Itakumbukwa kuwa ujumbe wa Mwenge wa uhuru 2024 ni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uhifadhi wa Mazingira wenye Kauli mbiu isemayo "Tunza Mazingira na shiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Ujenzi wa Taifa endelevu.
 

Attachments

  • VID-20240923-WA0037.mp4
    4.5 MB
Back
Top Bottom