Ngarenaro ni kubwa kuliko Arusha

Tape measure

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2015
Posts
1,981
Reaction score
3,604
Jamii forum ni zaidi ya Chuo, ama, Tanzania House of Talent (THT). Ni ukweli mtupu kuwa kuna wanaopata maarifa, ujuzi, ushauri, burudani, pundee tuu waingiapo kwa huu mtandao pendwa jf. Huwa nawaza sana members wote jf wangekua na akili angavu utamu wa jukwaa ungepungua. Ndio sababu title haifanani na content.

Naipenda jf sana. Natamani title ya huu uzi ingekua THREADLESS/TITLELESS/POINTLESS/PUMBALESS

Variation in terms of individual difference is of great importance and should be appreciated. Ndi ndii ndiii
 
umenikumbusha mbali, nikifika arusha breki ya kwanza ngarenaro kwa dada
 
Hizo ni imani za ndugu zangu kutoka Kondoa!
 
H0H0H0H0H0H0H0H0H0H0H0H0 jaman eti dar na dar>es<salaam wapi mbali
 
Hahahahhaha! Mkuu umenichekesha Sana. Zamani tukiwa kwetu babati,tulikuwa tukijidanganya Arusha ni cha mtoto kwa Mji wetu pendwa. Hahahahhaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…