Akamuulize mohamed mwameja;na hussein masha
ushauri
kabla ya kuondoka ajifunze kuchuma machungwa ingawa kule atakutana na matunda itamsaidia kuona kama kazi ya kawaida na si utumwa
Mkuu njoo na fact tuwekee hizo sheria za uhamiaji za UK zenye masharti kama unayoyasema..........Wadau hii ni tetesi tu nadhani. Sheria za uhamiaji zinaweka wazi kwamba kibali cha foreign professional footballer kitatolewa endapo mchezaji anatokea kwenye nchi ambayo ni ya at least 70 kwenye FIFA ranking, kwa maana hiyo kama wewe u mtanzania hata uwe unakipiga kama Pele- visa hupati. Most of PL clubs watakachofanya kama kuna mchezaji mzuri kwenye nchi ambayo hai qualify ni kumsajili mchezaji huyo na kum loan out kwenye ligi nyingine ndogo za Ulaya kama Belgium au Swiss then after 3 year ndani ya EU wanagain hiyo qualification na ndipo wanawachukua.
Kazi ipo hapa, namshauri mdogo wangu Ngasa aanze intesive tuition ya English manake huko kwenye website ya Homeoffice nimekutana na kali nyingine kwenye requirements- "must be able to demonstrate basic english skills" na kama ana mke hii inapply kwake pia!. Sasa sijui mdogo wetu kaishia kidato gani.
Pia uzushi mwingine ni kuwa ni lazima awe amecheza 75% ya mechi za Stars katika miaka miwili iliyopita kabla ya tarehe ya kusubmit hiyo application, sina hakika kama anakidhiki kipengele hiki. Kigezo hiki kilimkumba Yakubu na jamaa mmoja wa Zambia lakini walikubaliwa baada ya ku appeal kwa kisingizio kwamba walikuwa hawaivi na makocha wa nchi zao ndo maana hawakuweza kufikisha hicho kiwango.
Na kama nilivyosema awali kuna kigezo cha FIFA ranking na kama unatokea nchi ambayo ipo chini ya 70 hupewi working permit. Kuna mchezaji mmoja wa Chile Liverpool walimpenda lakini walipoingia Home Office wakatoswa kwa kuwa by then nchi yake ilikuwa ya 72 kwenye ranking.
Aende akajaribu tu labda miujiza itatokea, tena tumuombee sana.
mkuu hicho kigezo cha english sidhani kama kina umuhimu mkubwa!muulize vidic kama alikuwa anaongea english alivyokuja england!,u can learn it ukiwa ushasajiliwa.
Mkuu njoo na fact tuwekee hizo sheria za uhamiaji za UK zenye masharti kama unayoyasema..........
kwa maana hiyo kama wewe u mtanzania hata uwe unakipiga kama Pele- visa hupati.
mkuu manucho katokea angola!!acheni kumvunja moyo ngasa,lazima muelewe kuwa mpira wa afrika umepanda na wachezaji wana vipaji hivyo kwa ngasa kucheza ulaya anaweza kama alivyoweza shabani nonda.
kwa suala la kuwa eti atapata kipingamizi kwa kukosa kibali kwa sababu nchi yetu ipo chini ya kimpira duniani hiyo sio issue kwa sababu timu za hapa kitu wanachofanya ni kuwapeleka wachezaji waliofuzu majaribio kwenye nchi kama portugese au uswis kwenda kucheza ligi za huko mpaka atakapofuzu vigezo vya kupata visa ya hapa uk,mfano mdogo ni kwa manucho wa mozambique,mnaweza kuniambia msumbiji rank yake fifa ni ya ngapi?....suala la lugha sio big deal,wala hawaangalii una degree ngapi,hata ukiwa na basic wao wanakupa,wasichotaka kwa sasa ni suala la kutafuta wakalimani ambalo linawaingiza gharama nyingi kwa mwaka......MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU MBARIKI NGASA
....suala la lugha sio big deal,wala hawaangalii una degree ngapi,hata ukiwa na basic wao wanakupa,wasichotaka kwa sasa ni suala la kutafuta wakalimani ambalo linawaingiza gharama nyingi kwa mwaka......MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU MBARIKI NGASA
May 7, 2008
Foreign footballers from outside the EU will be barred from joining Premier League clubs from October unless they can speak simple English under new immigration rules.
wabongo bwana..... wamekaa kujiliwaza tu! badala ya kufurahia wao wanaona haiwezekani na haitawezekana!! Ngassa anaweza akasajiliwa, lakini akawa yuko kwenye soccer academy ya club husika na hata kukopehswa kwa club nyingine yeyote nje ya UK (lakini Europe) na akatimiza vigezo ambavyo vitamwezesha kucheza EPL! Ni kama issue ya Thabeet!
mkuu manucho katokea angola!!
Football Trials;
We ask that you arrive at the venue at least 30 minutes before the start of the event. Please bring a pair of shorts, your football boots, a football/sports shirt, socks and any other equipment you feel you might need.
You will be tested on ball-control, agility, speed, and a range of other football skills with the trial culminating in a game. During this time players will be observed and assessed by our coaches. Its not just ability were looking for, but the right attitude and a real passion for the game.
...ebwana eeh,
kiingereza sio big deal Bongo, lakini nchini kwa watu ushaambiwa wenyewe hawataki!
...ndio maana nikauliza Ngassa ana umri gani? maana soccer academy UK ni baina ya 16-19yrs olds...
mfano mdogo ni kwa manucho wa mozambique.
Acha kauzibe kijana....umesema sheria eti sijui nini kuwa ukitaka kucheza EPL uwe katika fifa ranking za 70........tupe link au paste sheria hizo sio maneno ya vijiweni bar.....Hizo nilizoweka hapo ndio facts unless wewe uwe una definition tofauti ya neno 'fact'. Au mpaka uone hayo nilosema yameandikwa na mzungu ndo utaamini kuwa ni fact?
Acha kauzibe kijana....umesema sheria eti sijui nini kuwa ukitaka kucheza EPL uwe katika fifa ranking za 70........tupe link au paste sheria hizo sio maneno ya vijiweni bar.....
SourceThe British mid-season transfer window witnessed a number of proposed transfers taken to the Home Office Appeal due to players not receiving an automatic work permit from the British Government. Socceroo Mile Sterjovski's move from Turkish club Genclerbirligi to English Premier League (EPL) side Derby County was one such case. This case highlights the important implications for Australian players when circumstances require Football Federation Australia (FFA) to select only Australian or European based players to play in certain Socceroos matches.
To be eligible for an English work permit:
1. a player must have played for his country in at least 75% of its competitive ‘A' team matches when he was available for selection, during the two years preceding the date of the application; and
2. the player's country must be at or above 70th place in the official FIFA world rankings when averaged over the two years preceding the date of the application.
A footballer whose picture is plastered around Baghdad as the face of Iraq's Asian Cup-winning national team has been told that he cannot sign with Manchester City because Iraq is not high enough in Fifa's global rankings.
The club had been hoping to secure a work permit for Nashat Akram, making him the first Iraqi to play in the Premier League. The midfielder has been on trial with City from the Dubai team al-Ain and had attended training with them.
But the Home Office ruled against the work permit application because, at 72 in the Fifa rankings, Iraq was outside the top 70 teams. The club's appeal against that decision was also rejected.