Ngassa alikataa dili la bilioni 1.6 El Merreikh

ndikumana si alishafariki? au?......


btw hio 1.6b amejumlisha mishahara miaka 4, plus signing fee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Sekilojo Chambua ndio yule jamaa aliekuwa anatoa story zake Clouds Fm kwenye kile kipindi cha njia panda mkuu?!...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Too late alisahau mpira ni ajira ya muda mfupi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio na alipelekwa trial WEST HAM na wakala wake- Boss wa Azam Fc - Yusuf Bakhresa! Sa kule ktk performance report ilionekana NGASSA kuna maeneo anatakiwa kwanza afanye improvement kabla ya kurudi tena!

Waliporudi Tanzania, NGASSA akaliamsha dude! Kwanza akaongeza mke na kisha akalazimisha uhamisho kwenda Yanga! Kuna picha humu ya Ngassa akivaa jezi ya YANGA juu ya Jezi ya AZAM FC! YANGA wamavisha na rozari ya kijani kabisa! Yusuf akaona isiwe tabu! Sikio la kufa...
Ngassa huyu si alitakiwaga hadi na west ham united au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aache kulia lia huyo ni sikio la kufa halisikiagi dawa wala hatutaki kusikia story upande wa pili maana yalipokuwa yanatokea tuliyashuhudia.
 
Alifichwa kama mwali vile..Poor Ngassa..acha azeeke na njaa zake..unless kuna sababu nyingine ambayo ambayo hatuijui,huu utakuwa ni ujinga kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…