Ngedere wanaharibu mazao msaada tafadhali.



Mkuu huko shambani kwako hakuna nduguze Kikwete (wakwere)? Wale jamaa wanapenda kujifananisha na wachina wa Tanzania (Wahehe) kwa kula vitu vya hajabu.
 
Mkuu huko shambani kwako hakuna nduguze Kikwete (wakwere)? Wale jamaa wanapenda kujifananisha na wachina wa Tanzania (Wahehe) kwa kula vitu vya hajabu.
Bora wangekuwepo huku wangesaidia sana na jinsi ngedere walivyo wengi nadhani vitambi vingewapata.
 
Bora wangekuwepo huku wangesaidia sana na jinsi ngedere walivyo wengi nadhani vitambi vingewapata.


Kijana Ritz (Ridhiwani Kikwete) angalia tender hii ya kula ngedere bure. Wakwere mnatafutwa kwenda kuwala ndugu zetu (Apes)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…