Rugas JF-Expert Member Joined Jan 8, 2009 Posts 1,048 Reaction score 197 Nov 24, 2011 #1 huyu jamaa ana mikosi kweli! Red card kwenye siasa,na sasa kwenye kambumbu! Amepewa red card kwenye mchezo kati ya bunge la tz na bunge la Eac.
huyu jamaa ana mikosi kweli! Red card kwenye siasa,na sasa kwenye kambumbu! Amepewa red card kwenye mchezo kati ya bunge la tz na bunge la Eac.
dubu JF-Expert Member Joined Oct 18, 2011 Posts 3,502 Reaction score 3,483 Nov 24, 2011 #2 hahahaaaa....!!!.hivi ule mchezo wa juzi uliishaje?
Njowepo JF-Expert Member Joined Feb 26, 2008 Posts 9,710 Reaction score 2,240 Nov 24, 2011 #3 Na bado ana moyo ila inategemea na refa kama ni mmoja wa wabunge basi kafanya kusudi. Ila kusakamwa na watu at all angles lazima udate kama uu timamu
Na bado ana moyo ila inategemea na refa kama ni mmoja wa wabunge basi kafanya kusudi. Ila kusakamwa na watu at all angles lazima udate kama uu timamu
Rugas JF-Expert Member Joined Jan 8, 2009 Posts 1,048 Reaction score 197 Nov 24, 2011 Thread starter #4 dubu said: hahahaaaa....!!!.hivi ule mchezo wa juzi uliishaje? Click to expand... Bunge Tz 1- Bunge EAC 3
dubu said: hahahaaaa....!!!.hivi ule mchezo wa juzi uliishaje? Click to expand... Bunge Tz 1- Bunge EAC 3
Emanuel Makofia JF-Expert Member Joined Jan 5, 2010 Posts 3,832 Reaction score 635 Nov 24, 2011 #5 Rugas said: Bunge Tz 1- Bunge EAC 3 Click to expand... LOH WAPE POLE! 😛oa
Jile79 JF-Expert Member Joined May 28, 2009 Posts 17,668 Reaction score 13,263 Nov 24, 2011 #6 malipo hapahapoa duniani
Kigogo JF-Expert Member Joined Dec 14, 2007 Posts 20,508 Reaction score 6,183 Nov 24, 2011 #7 hivi we ngeleja yaani namatatizo yote haya ya umeme we huna habari unaenda kusukuma gozi kama xavi...kheee kweli mwnakwetu huna haraka..uje huku una kimeo cha posho a mtoto wa mkulima na bi kiroboto mmesaini
hivi we ngeleja yaani namatatizo yote haya ya umeme we huna habari unaenda kusukuma gozi kama xavi...kheee kweli mwnakwetu huna haraka..uje huku una kimeo cha posho a mtoto wa mkulima na bi kiroboto mmesaini