Ngereza: wachezaji wa Simba SC hawana fitness

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Kuna changamoto kubwa sana kwenye sehemu ya fitness ya wachezaji wa Simba na hii inaweza ikawa inasababishwa na mwalimu ndo maana Kuna wakati unaona wachezaji wanatafuta walimu binafsi wa mazoezi".

Ukiangalia jinsi ambavyo wachezaji wa Simba mikimbio Yao unawaona kabisa hawana Fitness,angalia wakiwa hawana mpira wanavyopata shida kuutafuta mpira unaona kabisa ni timu ambayo inakosa Fitness"

Soma Pia:

#FutbalPlanetUpdates
 
Hakika....
Nimeliona pia...angalia dk za kumiliki mpira mchezaji mmoja mmoja, ..uwezo wa kutembea na mpira wakati wenzako wanafungua vyumba,....
Kuna moment team inakaba kwa kucheza rafu ni ishara ya kuishiwa pumzi ya kukimbizama....
Inapojenga shambulizi inatoteza kirahisi kabla ya kuingia eneo la D..
 
Japo makolo hawaelewi
 
Japo makolo hawaelewi
 
Japo makolo hawaelewi
 
Japo makolo hawaelewi
 
Simba makundi lazima aingie na robo atafika shida ni pale pale pa siku zote robo final
Ikumbukwe yuko shirikisho huko team nyingi hatua ya makundi ni unga unga mwana
 
Simba makundi lazima aingie na robo atafika shida ni pale pale pa siku zote robo final
Ikumbukwe yuko shirikisho huko team nyingi hatua ya makundi ni unga unga mwana
Hata huko hatoboi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…