Wataroga au kuingia kinyume nyume FC.Hilo nimeliona pia,
Hawa wajomba shirikisho sijui itakuwaje,sina hakika kama watatoboa hatua ya makundi
Huku hakuna kuroga brodahWataroga au kuingia kinyume nyume FC.
Japo makolo hawaelewiHakika....
Nimeliona pia...angalia dk za kumiliki mpira mchezaji mmoja mmoja, ..uwezo wa kutembea na mpira wakati wenzako wanafungua vyumba,....
Kuna moment team inakaba kwa kucheza rafu ni ishara ya kuishiwa pumzi ya kukimbizama....
Inapojenga shambulizi inatoteza kirahisi kabla ya kuingia eneo la D..
Japo makolo hawaelewiHakika....
Nimeliona pia...angalia dk za kumiliki mpira mchezaji mmoja mmoja, ..uwezo wa kutembea na mpira wakati wenzako wanafungua vyumba,....
Kuna moment team inakaba kwa kucheza rafu ni ishara ya kuishiwa pumzi ya kukimbizama....
Inapojenga shambulizi inatoteza kirahisi kabla ya kuingia eneo la D..
Japo makolo hawaelewiHakika....
Nimeliona pia...angalia dk za kumiliki mpira mchezaji mmoja mmoja, ..uwezo wa kutembea na mpira wakati wenzako wanafungua vyumba,....
Kuna moment team inakaba kwa kucheza rafu ni ishara ya kuishiwa pumzi ya kukimbizama....
Inapojenga shambulizi inatoteza kirahisi kabla ya kuingia eneo la D..
Japo makolo hawaelewiHakika....
Nimeliona pia...angalia dk za kumiliki mpira mchezaji mmoja mmoja, ..uwezo wa kutembea na mpira wakati wenzako wanafungua vyumba,....
Kuna moment team inakaba kwa kucheza rafu ni ishara ya kuishiwa pumzi ya kukimbizama....
Inapojenga shambulizi inatoteza kirahisi kabla ya kuingia eneo la D..
Huwa ninakusoma sana! Huyo mchambuzi wako, huwa anakuwa MAHILI, pindi anapoiponda Simba tu!Mchambuzi mahiri hapa bongo